Saturday, August 5, 2017

Shilole amtetea mchumba wake

MSANII wa muziki wa kizazi kipya Shilole ameamua kila aina ya maneno kumtetea mchumba wake.
Mwanadada huyo anasema mchumba wake umri wake ni mkubwa na anajitambua na ndio maana amefika mahali amekubali kuwa atolewa na huyo mwanaume maana ni mtu mwenye umri mkubwa na anajiheshimu.
Anafafanua kuwa mwanaume wake wa sasa si kijana , ni mtu mzima na huwa hapendi mambo ya  mitandao na ndio maana hamuweki wazi.

0 Comments: