Linah amesema anashangazwa na taarifa zinazosambaa mitandaoni na hajui ni nani ambaye anazisambaza na malengo yake ni yapi.
“Sijajifungua bado na hata mwenyewe nashangazwa na huyo mtu aliyesambaza taarifa hizo ana malengo gani? Nawaomba mashabiki zangu waniombee kwani nakaribia kwenda kujifungua ingawa siwezi kusema ni lini maana si vizuri,”anasema.







0 Comments:
Post a Comment