Saturday, May 20, 2017

Chioma afurahia kuwa bibi

MSANII nyota wa Nollywood, Chioma Chukwuka, ameonesha furaha ya kipekee kwa kuzaliwa mpya wake huku akijisifia amepata mjukuu.
Tangu kufariki kwa mama wa msanii huyo, Grace Egoyibo Chukwuka, mtoto wake wa kwanza, aliamua kumfanya kama ndiye mama yake kwa mujibu wa utamaduni wa Igbo.
Katika ukurasa wake wa Instagram aliandika:”Kwa leo nampa utukufu wake Mungu! Nimekuwa bibi tena”.

0 Comments: