Uongozi wa Mashujaa ulifikia uamuzi wa kutafuta mkufunzi ili kuifanya bendi hiyo kuwa katika kiwango cha juu.
Meneja wa bendi hiyo, Martin Sospeter, alisema bendi hiyo kwa sasa imekamilika kila idara na ina mabadiliko makubwa, tofauti na ilivyokuwa awali, kwa sasa ni bora zaidi.







0 Comments:
Post a Comment