Saturday, November 17, 2012

LEO AY NA CPWAA NDANI YA CHANNEL O VIDEO MUSIC AWARDS 2012


Leo usiku, ndani ya Jiji la Johannesburg, kitongoji cha Soweto, katika viwanja vya Watler Sisulu, zinafanyika kwa mara ya tisa, tuzo za video bora za muziki Afrika zinazoratibiwa na kituo cha Televisheni cha Channel O, huku Tanzania ikiwa na wawakilishi wawili wanaowania jumla ya tuzo nne.

Hii siyo mara ya kwanza kwa wanamuziki hawa kutajwa kuingia katika tunzo hizi zinazodaiwa kuwa za pili kwa ukubwa Afrika ukiachana na ile ya Kora, kumbukumbu za gazeti hili zinaonyesha mwaka jana pia wanamuziki hawa wakiwa na mwenzao wa kike Sarah Kais walikwenda huko huko Afrika ya Kusini, na kurudi wakiwa hawajaambulia hata tunzo, na katika uchunguzi wetu tukagundua kwamba kwetu hapa huwa si watendaji sana kwenye suala la kura.

Tamasha la Makuya

Tamasha la Ngoma za asili la makabila ya mkoa wa Mtwara Maarufu kama Tamasha la MaKuYa limeanza rasmi, huku vikundi mbalimbali vya sanaa vikonyesha umahiri mkubwa katika kucheza ngoma za asili za makabila yao.




Tamasha hilo ambalo mwaka huu lilianza kwa maandamano kutoka katika viwanja vya mashujaa kwenda Uwanja wa Nangwanda  maarufu kama uwanja wa Umoja mjini Mtwara limevuta hisia za wakazi wengi wa mji wa huo na vitongoji vyake ambapo licha kuwepo kwa jua kali lakini watu waliendelea kumiminika uwanjani kushuhudia wasanii wakisakata ngoma mbalimbali.

B-man pamoja na KC & Narx ndani ya bounce track matata

B-man anayejulikana vema kwa collabo ya "hello" aliofanya na Matonya round hii anakuja na "Niambie" ikiwa ni bounce track toka noizmekah.com kwa defxtro humo akiwa amemshirikisha KC toka FBG & Narx ndani ya bounce hilo,support kwa kudownload HAPA ngoma shavu zaidi kwa wadau wote media na fans wa Bman,holla kupitia 0712555030 kwa mahojiano/bookings na Tshirts zangu mpya kibaooooo

Keri Hilson to Perform in Kenya & Tanzania Next Month

Keri Hilson, coming soon to Kenya and TanzaniaKeri Hilson, coming soon to Kenya and Tanzania

Songbird Keri Hilson has made an unofficial announcement that she will be performing in Kenya and Tanzania for the first time in mid-December – just a few weeks from now. Keri, most popular for her “knock you down” track made the announcement without giving much details on Twitter in a conversation.



This will be a great wave meaning great entertainment and really big international artists coming to Kenya – Erica Badu will be performing in Nairobi too. We shall give you more details about the Keri Hilson show soon as we get more info.

Rihanna's "Diamonds" (Remix) Featuring Kanye West, PHOTOS From The "777" Tour

Photobucket

While she jets all over the world for her "777" tour, Rihanna tapped Kanye West to put the G.O.O.D. Music touch to her "Diamonds" (Remix).  Listen to the track inside and see pics of Rihanna on stage.

On the latest remix for Rihanna's "Diamonds" (Remix), Kanye West blesses the track as he raps about the Illuminati, high society, and parking his whip outside of the Louvre Museum. He also shouts out to the survivors of Hurricane Sandy.
The hit single is the lead track off the Unapologetic disc that's set to hit stores around the world on Monday.

Listen to the track here:

MUSIC VIDEO: Faze – Aka Chukwu



A few months ago, Faze dropped this single alongside Follow your mind. A Red Nello Films production, Akachukwu is an awesome  groovy video with great beats produced by Spellz. Rendering accolades to some known personalities in the Igbo dialect, Faze comes  with a different yet lovely concept.
Enjoy!

Big Sean Pushes ‘Hall of Fame’ to 2013

Big Sean

Big Sean is kicking off the new year with a new album. The G.O.O.D. Music rapper has pushed his sophomore set Hall of Fame to early 2013.

In his second video blog entitled “Fear,” the 24-year-old grapples with the release date, eventually deciding to postpone the album, which was originally due December 18.

PREZZO and GOLDIE marrying SECRETLY


Goldie and Prezzo met up for the first time during the Big Brother Stargame this year and even though they ended their relationship on a sour note, they eventually linked up when Prezzo went begging in Lagos.

Sources are now claiming the celebrity pair are planning to tie the knot. Rumours have been flying around that Kenyan rapper Prezzo and Nigerian pop singer Goldie are in a serious relationship.

50 Cent and Wiz Khalifa Team Up in Chief Keef Video

50 Cent and Wiz Khalifa

Hip-hop superstars 50 Cent and Wiz Khalifa hit Las Vegas to shoot the video for Chief Keef’s new single “Hate Being Sober” on Thursday. The Taylor Gang leader got behind the wheel of a dune buggy as he drove through the desert with 50 by his side. But the star himself, Chief Keef, was reportedly a no-show.