Taarifa iliyopo mtandaoni inaeleza kuwa katika onesho hilo Rihanna anatarajiwa kuonesha mavazi yatakayotumika kipindi cha mwaka 2018.
Hiyo itakuwa mara ya kwanza kwa msanii huyo kuonesha mavazi yake katika wiki ya mitindo tangu alipozindua mwaka 2016 kabla ya kuzipeleka Paris Fashion Week kuzindua msimu wa mavazi hayo kwa mwaka 2017.








0 Comments:
Post a Comment