MSANII mwenye umaarufu wake Rehema Chalamila a.k.a Ray C ameamua kuonesha jitihada zake katika muziki ambapo kwa sasa anatamba na wimbo wake mpya wa Unanimaliza.
Waanomsimamia msanii huyo katika shuguli zake za muziki wanasema kuwa Ray C ameamua kuonesha kuwa amerudi kwenye game kiasi cha kwamba yupo tayari kukesha studio ili kufanya kazi.
Inaelezwa kuwa tangu alipoamua kurejea kwenye muziki Ray C anataka kuthibitisha kwa mashabiki wake kuwa anataka kurejea kwenye ubora wake wa zamani na katu hayupo tayari kurudi kwenye maisha ya siku za karibuni ambapo alikuwa kimya kwenye mambo ya muziki.
Waanomsimamia msanii huyo katika shuguli zake za muziki wanasema kuwa Ray C ameamua kuonesha kuwa amerudi kwenye game kiasi cha kwamba yupo tayari kukesha studio ili kufanya kazi.
Inaelezwa kuwa tangu alipoamua kurejea kwenye muziki Ray C anataka kuthibitisha kwa mashabiki wake kuwa anataka kurejea kwenye ubora wake wa zamani na katu hayupo tayari kurudi kwenye maisha ya siku za karibuni ambapo alikuwa kimya kwenye mambo ya muziki.







0 Comments:
Post a Comment