Akizungumza wiki hii, Nandy anasema kuwa kwa namna ambavyo anautazama aina ya muziki anaofanya Rayvanny na wake anaona unaendana.
“Kwa haraka haraka nikipewa ‘chance’ kwa mtu wa WCB kufanya nae ngoma nitafanya na Rayvanny. Nahisi kama aina ya muziki wetu unafanana na tunaendana,”anasema.








0 Comments:
Post a Comment