Friday, July 14, 2017

AY AMVISHA PETE YA MCHUMBA WAKE REMY

Msanii Ambwene Yessaya (AY) amemvisha pete jana mchumba wake wa siku nyingi Remy ambaye ni Mganda. Msanii AY yuko njiani kuachana na ukapela baada ya kukaa na mchumba wake huyo kwa miaka mingi.

A post shared by Michael Mlingwa (@mxcarter) on



A post shared by Michael Mlingwa (@mxcarter) on




A post shared by Michael Mlingwa (@mxcarter) on



Picha kwa msaada wa MxCarter Instagram

0 Comments: