Dansa huyo wa muda mrefu alisema kuwa kwa sasa anaweka mambo yake sawa na yatakapokamilika ndipo ataanza rasmi kuimba nyimbo zake.
“Nataka kufanya kazi zangu binafsi, kwani nimechoka kuajiriwa, nitakuwa naimba nyimbo zangu ya miondoko kama ya Fally Ipupa na ragger dance,” alisema.
Alisema, anaamini kipaji chake cha kuimba, licha ya kujikita katika unenguaji, huku akiwataka mashabiki wake kumtia hamasa ili afanye vema katika kazi yake mpya ya kuimba.







0 Comments:
Post a Comment