Tuesday, July 5, 2011

PIX MAKING THE VIDEO YA SPEAK WITH YOUR BODY-AY FEATURING LIL ROMEO


AY & ROMEO

Hii ilikuwa siku waliokua wanashoot video mpya inayoenda kwa jina la SPEAK WITH YOUR BODY - AY FEAT: ROMEO & LA'MYIA director wa video hiyo ni William Tikki & Shai Kedem na Producer wa audio anaitwa Riley waliouza kwenye video hiyo ni pamoja na NO LIMIT SOLDIERS,ACTRESS MEAGAN GOOD & ACTOR SAM JONES III ambae ameshawahi kutokea kwenye video kibao ambazo zimeshawahi kufanya vizuri kwenye ulimwengu wa mziki duniani pia ACTOR SAM JONES III na NO LIMIT SOLDIERS....Video Hiyo LOCATION:HOLLYWOOD CALIFORNIA na inarajia kutoka baada ya wiki mbili mashabiki wakae mkao wa kula.

ADOPH MBINGA AJIACHIA TWANGA PEPETA


MPIGA gitaa la solo mahiri nchini Tanzania, Adoph Mbinga amesema ameikimbikia bendi yake ya zamani ya African Stars"Twanga pepeta"kutokana na kujawa na ubabaishaji katika uendeshaji wa bendi hiyo.

Mwanamuziki huyo alisema ameikimbia bendi hiyo kutokana na kuwa na mapungufu mengi,ikiwa ni pamoja na kuwa na mikataba mibovu na kusema kuwa alipojiunga na bendi hiyo aliambiwa kwamba yupo katika muda wa majaribio ambao alidai muda huu aliopewa wa kujaribiwa haukuwa na mwisho.

"Ni ubabaishaji kufanya kazi na bendi ile,nilichukuliwa pale bila kuwa na mkataba rasmi na uongozi wa bendi hiyo,nilichopewa ni maelekezo ya kuwatendea kazi tu na ndio maana nimeamua kazi katika bendi hiyo na kama siyo wao wamemfukuza kazi kama wanavyodai,"alisema.

Akielezea mkasa ambao ulipelekea kuwa na uvutano kati yao na uongozi wa bendi hiyo,Mbinga alidai kwamba msuguano huo ulianza baada ya yeye kuomba ampatiwe mkopo wa shilingi laki nne ili aongezee kupata kodi ya nyumba na akatwe pesa hiyo siku za mbele na alidai mara baada ya kupeleka maombi yake hayo,uongozi wa bendi hiyo,ulishindwa kumsaidia kiasi hicho cha pesa,na badala yake uongozi ulianza kumpiga danadana katika kunisaidia.

"Kilichopo pale pale ni ubabaishaji,watu wanafanya kazi bila kuwa na mikataba yenye maslahi kwao na ukionekana kudai maslahi yako vilivyo,unaonekana mkorofi" alidai.
Mimi na twanga sasa basi,napenda wananchi waelewe mimi ndiyo nimejitoa Twanga,siyo wao wamenifukuza,wamewahi kutangza kwa nia ya kujihami"alidai.

Meneja masoko wa bendi ya hiyo,Martin Sospeter alidai Mbinga ametimuliwa katika bendi hiyo kutokana na kuwa mtovu wa nidhamu,ikiwa ni pamoja na kutega kushiriki mazoezi na wanamuziki wenzake. Mbinga ni mmoja waasisi wa bendi hiyo ambapo ameshiriki kutunga tungo kadhaa zikiwemo Bwana Kijiko,Kisa cha Mpemba na kushiriki kupiga gitaa la solo katika vibao kadhaa vya bendi hiyo.

Na James Nindi

Mary J. Blige, Trey Songz & New Edition Close Out Day 3 Of The ESSENCE FEST Mainstage, Celebs Kick It In VIP

The folks over at ESSENCE ended a very successful weekend in New Orleans for the ESSENCE Music Fest with New Edition, Trey Songz and Mary J. Blige taking the stage for the final night. See pics of other celebs in attendance ........

Mary J. Blige helped close out Day 3 of The ESSENCE Music Fest taking fans through a medley of hit songs and old school dance moves.

Alright Mary. Loving the change up in stage outfits.


Chick had the DOme on lock. She closed out with "Be Without You" and had the crowd sing "I'm Going Down" to HER. Sweet!

Earlier in the evening.....

Trey Songz hit the main stage.


Trey currently has a hit on the charts with Lupe Fiasco called "Out Of My Head."

R&B crooner Kem was also a big hit on the main stage.


Essence head honchos Constance White and Emil Wilbekin posed together in the lounge.

Anthony Mackie was seen enjoying Day 3 festivities.


Doug E. Fresh kept the party people moving in the lounges.


George Clinton and his band brought their essence to the fest complete with feathers and colorful coats. And he's finally showing his full face.

Also....the main stage suffered an NE heartbreak.....



The fellas' precision and dance moves are still on point. Once Boby made his "entrance," all 6 members killed it.

Nice to see these guys can still entertain a crowd and are getting along.


Kelly Price was saaangin' in the super lounge. Stokley Williams hopped on stage to sing a duet with her.


MC Lyte was spotted rocking the mic.


Nene Leakes posed with Jennifer Williams who was spotted with her new boo at the fest


Nene also posed with Pebbles and Marjorie Harvey.

Jen and Shaunie looked fab in their photo together.

Steve Harvey was the MC on the main stage and he kept the crowd laughing.


Steve Stoute was chilling in one of the lounges.


Tameka Raymond kicked it with LeToya Luckett backstage.

Then with Jen and Shaunie.

And Tika Sumpter posed in this eye-popping hot pink number while in the lounge with Emil. Cute!

And Essence Communications president Michelle Ebanks posed with her friends and Tameka Foster.

Stay tuned for or full out Essence wrap-up post!