MUIGIZAJI wa Bongo Muvi Aunt Ezekiel ameamua kusafiri kwenda Thailand kwa ajili ya kutafuta dawa ya kupunguza unene baada ya kuona hali hiyo inamnyima raha.
Aunt Ezekiel anasema wiki hii kuwa baada ya kufanya kila jitihada za kupunguza unene na kuona hapungi aliamua kufunga safari hadi nchini Thailand kwa ajili ya kutafuta dawa na baada ya kuitumia anakiri kuna mabadiliko anayaona.
Anafafanua kutokana na unene aliokuwa nao ilifika hatua hata akivaa nguo nzuri alikuwa hapendezi na baada ya kuanza kutumia dawa hiyo anaona kuna mabadiliko makubwa.
Aunt Ezekiel anasema wiki hii kuwa baada ya kufanya kila jitihada za kupunguza unene na kuona hapungi aliamua kufunga safari hadi nchini Thailand kwa ajili ya kutafuta dawa na baada ya kuitumia anakiri kuna mabadiliko anayaona.
Anafafanua kutokana na unene aliokuwa nao ilifika hatua hata akivaa nguo nzuri alikuwa hapendezi na baada ya kuanza kutumia dawa hiyo anaona kuna mabadiliko makubwa.







0 Comments:
Post a Comment