Nicki Minaj na Blac Chyna jana tarehe 20/7/2017 walikuwa katika jiji la Miami. Wanadada hao wawili kwa pamoja walikuwa katika utengenezaji wa video mpya ya mwanadada Nicki’s inayokwenda kwa jina la “Rake It Up” kwa pamoja walikuwa wanaonekana vizuri katika video hiyo, lakini Chyna alikuwa anaonekana juu zaidi ya Nicki.

Chyna has been hitting the gym hard since her drama with baby daddy Rob Kardashian. Allegedly, Rob kicked her out of their home and cut off her funds. So Chyna has returned to what she does best: making appearances at the strip club – and she gotta look good.






0 Comments:
Post a Comment