Sunday, May 11, 2014

BRAND NEW SONG: KITIFA FT. RICH MAVOKO - UNACHEZA NA NANI

Baada ya kutoka na Maisha ya Mjini wimbo aliomshirikisha msanii Linex sasa Mwanadada anayetamba kwa Rap za Kiswazi zaidi KITIFA ametoa ngoma ingine aliyomshirikisha Rich Mavoko, ngoma inaitwa 'Unacheza na Nani' iliyoandaliwa katika studio za Legendary Music Tanzania.
 
Support yako inahitajika sana Mdau kwa kuipa Air Time pamoja na kushare kwa mitandao mbali mbali blogs na website,.. Tunaudhamini sana Mchango wako.
--
Dj Mchomo
+255 716 825982
www.djmchomo.blogspot.com
Dodoma, Tanzania

0 Comments: