Monday, November 4, 2013

NAFASI YA UDHAMI KATIKA MIXTAPE

Habarini ndugu na jamaa na wadau wa mziki ,
Naomba nichukue fulsa hii kuwakaribisha wote  kwa atakayependa kudhamini mixtape ya RAPA machachari KAPUKU DIGITAL ya “KABURI LA FISADI” inayotarajiwa kuachiliwa hivi karibuni. Hivyo basi kama wewe mdau,blogger na blog yako,webmaster na website yako,kampuni,dj,presenter,shabiki wa hip hop,hata kama adui unakaribishwa katika udhamini wa mixtape hii, nembo yako au blog yako itakua kwenye kila bango la mixtape hii hadi cover na ata red carpet ya uzinduzi POSTER.
 
Kama umeridhia na maombi haya  tutumie majibu  ukiwa umeambatanisha na lebal, nembo au blog yako katika picha kupitia email  : kapukudigital@gmail.com
 
Utapata nafasi ya jingle for promo za audio za blog yako wakati tuna promote mixtape.
 
Tuna karibisha mawazo ya jinsi unavyo weza kudhamini mixtape hii ahsanten hii kitu ni noma. One love…we keep it hip hop
 

0 Comments: