Monday, June 10, 2013

Msanii wa filamu nchini Jaji Khamis alimaarufu kama Kashi amefariki dunia mchana huu...


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsfBSQfxHQbgpi9TltkRsrtEzdv6nNbfnwp9aF805cWm9XTB30IQjsbgbPKfgRRUmd2PsVObknze-ZH7mPeMqNtOAk-H5WNAWKyRO_ALDhmBhrr8SHx1iFgj0pk5I4pw0ICzPju-JGhrWx/s640/Kashi.jpg
Msanii wa filamu nchini Jaji Khamis alimaarufu kama Kashi aliyewahi kushiriki katika tamthiliya  mbali mbali zilizorushwa na kituo cha Television cha ITV Amefariki dunia mchana huu katika hosptali ya taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa.
Tukio hilo limetokea ikiwa ni siku nne tuu baada ya msanii wa muziki wa Bongo Flava Albert Mangweha (Ngwea) kuzikwa katika makaburi ya Kihonda mkoani Morogoro.
Miaka ya nyuma msanii huyo aliwahi kuigiza katika tamthiliya mbali mbali ikiwemo Tamu Chungu akiwa na wasanii wengine maarufu kama vile Mzee Masinde, Samson na wengine wengi.

0 Comments: