Tuesday, June 4, 2013

Jinsi mwili wa Ngwea ilivyosindikizwa Muhimbili

 Polisi ilibidi wafanye kazi ya ziada, masela walikwidwa sana
 Mwili ukatolewa
 Hapa ndio rasmi watu wakaanza kuamini kwamba kamanda amepumzishwa
 Ilikuwa lazima ikuguse, ni ngumu kuizuia
 Safari ikaanza
 Gari lililobeba mwili likiwa mikobnoni mwa raia
 Ilikuwa ngumu kuzuia hisia...
 Mchizi Mox akiwa amekamatia msalaba wa mchizi wake
 Mbio njia nzima
 
Imeandikwa na Henry Mdimu wa http://mdimuz.blogspot.com

0 Comments: