ChopaBoy aka William Munishi ni msanii chipukizi wa rap katika game akiwa anatokea arusha na hapa ameflow juu ya mdundo wa marekani akimshirikisha mwanadaad MayChedda katika chorus ya wimbo HAYA MAISHA pata kuusikiliza HAPA na endelea kusupport muziki wa Tanzania
Saturday, June 22, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







0 Comments:
Post a Comment