Tuesday, May 28, 2013

R.I.P NGWEA


Ngwea akiwa na msanii M to the P jana south africa.mtu wa karibu anasema walitakiwa kurudi Dar leo lakini waliwakuta wamezima kwenye room wote wawili baada ya kuji overdose madawa ya kulevya na M to the P yupo hoi hospitali ila bado tunafuatilia habari hizo kama kweli ni dawa au la

0 Comments: