Tuesday, March 19, 2013

NAMTAMBULISHA J ONE KUTOKA KAHAMA!!


Huyu ndiye J One, Msanii katika mahadhi ya Bongo Flava kutoka katika mji wa madini Kahama. Anatambulisha Ngoma yake mpya ikiambatana na Video akimshirikisha Msanii wa Mwanza Baraka Prince, Ngoma Inakwenda kwa jina la Kisharo sharo.
Unaweza kuipata video ya J One ft Baraka Prince- Kisharo Sharo kupitia:
 http://www.youtube.com/watch?v=M2d-ztc6Pxo
 
Mukhsin K.H Mambo,
ACP Entertainment,
Star TV,
P.O. Box 1732,
Mwanza,
TANZANIA.

Mobile: +255717557220/+255686525354
Blog: www.thebigtopten.blogspot.com

0 Comments: