Wednesday, February 27, 2013

New Female Artist; DINA BROWN - "NIMEMPATA"

Hello Wadau,
Tunamtambulisha msanii wa kike mpya kabisa ktk tasnia ya BongoFleva anaitwa DINA BROWN, anaachia nyimbo yake mpya inaitwa "NIMEMPATA", imefanywa ktk Studio za UB Record na Prodyuza Star Jay

Anaomba support kubwa kutoka kwenu ili gurudumu hili la muziki liweze kusonga mbele
Thanx in Advance

0716452945
Dina Brown
NIMEMPATA - DINA BROWN.mp3

0 Comments: