Saturday, June 23, 2012

The Nocoz are back again

NocoZ ft BouNako-Kazi (NOIZ.Timba)

Nocoz are back again this time wakimshirikisha BouNako toka N2N,hapa sasa NOcoz na NAkoz ndani ya pini moja ndani ya beat ya mtumzima Samtimber na vocals/mixing ikiwa ni pande za noizmekah.com chini ya defxtro.Support kwa hiphop chipukizi ndio mpango na pini linakwenda kwa jina la KAZI..ikiwa ni kazi kweli ya hardcore hiphop inayodokeza ugumu wa maisha na vikwazo vya kizembe vinavopelekea machizi kufilisika, kulosti maisha.Skiliza pini na support hiphop music from tanzania,One

0 Comments: