Fido,Kiongozi wa vatoloco the Red anadhihirisha uwezo wake katika Chantin pon dem riddim beats kama jinsi mzee wa style tatu; stoppa rhymez hufanya,kwa namna alivyotembea ki-hiphop juu ya beat ya toka jamaica "Watu wananifahamu zaidi kwa hiphop tracks zangu na support niliyo nayo kwa ragga artists hapa home,and this tym im lettin the world know arachuga is tha kingston of tanzania,we gat the best w**d out here man! ask anybody!Fido anadrop pini hili la "Hustling" ambalo lipo katika upcoming mixtape yake ya "VatoRiddims" volume one...enjoy it rasta!
Wednesday, May 23, 2012
Fido awajia kijameikan hiphop sasa!!!
Wednesday, May 23, 2012
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments:
Post a Comment