Bou Nako toka kundi la NAKO2NAKO soldiers yupo katika harakati nyinginezo za kuendesha maisha lakini mziki upo kwenye blood,hii inadhihirishw na kazi yake mpya alomshirikisha mwanadafada narx.pini linaitwa"Ish kama hizi" ikimaanisha "mambo kama haya",ambayo ni hiphop joint inayozungumzia zaidi hustling za machizi na jamii inavyopotoshwa na siasa danganyifu kila leo,hali ya maisha kuwa duni na hiphop kuwa njia ya ukweli katika kukomboa fikra zetu vijana"
Thursday, November 10, 2011
Bou Nako na solo project mpya!
Thursday, November 10, 2011
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 Comments:
Post a Comment