Moplus a.k.a. baba wa ukoo  amshirikisha  Roma mkatoliki na  Banx  katika pini linalokwenda kwa jina  "Ukweli" lilofanywa arachuga chini ya producer defxtro ndani ya  noizmekah studios,ikiwa ni nyimbo inayozungumzia jamii kiundani,moplus  anasema "Na appreciate sana Mchiz kufanya collaboration na mimi katika  project zangu,na nadhani ngoma hii mpaka sasa ndio itakayobeba album  yangu "baba wa ukoo volume 2 kwa jinsi ni concious joint.
Other projects zitakazofikia media hivi punde ni pamoja na ile video iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu sana,Video ya "X-RAY" nilofanya nam2 mzima mwenzangu JohMakini..Defxtro amekwisha nikabidhi mzigo wangu so fans wote tuendeleze safari hii ya muziki wangu kwa maana Mola alishabusu safari...
Other projects zitakazofikia media hivi punde ni pamoja na ile video iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu sana,Video ya "X-RAY" nilofanya nam2 mzima mwenzangu JohMakini..Defxtro amekwisha nikabidhi mzigo wangu so fans wote tuendeleze safari hii ya muziki wangu kwa maana Mola alishabusu safari...







0 Comments:
Post a Comment