Thursday, September 29, 2011

AY KUFANYA WIMBO NA YOUNG JOC

AY akiwa na P-Square
Msanii Ambwene Yessaya(AY) baada ya kufanya ngoma kali Speak Wit Ya Body akiwa na Lamya& Romeo sasa ameenda kufanya ngoma nyingine na Msanii kutoka huko huko Marekani Young Joc hivyo mashabiki waendelee kuona mambo makubwa mashabiki wake.

Young Joc & T-Pain

0 Comments: