Mariam akishangilia kwa furahi ushindi wa BSS 2010 ambapo mashindano hayo yalifanyika ndani ya ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam
Joseph ni mshiriki wa Bongo Star Search kwa mwaka huu aliyepata cheki ya shilingi milioni 5 kutoka airtel na kutuzwa mara nyingi sana
Mariam akipewa pongezi na ,Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Emmanuel Nchimbi kwa kujinyakulia zawadi ya shilingi Milioni 30
0 Comments:
Post a Comment