Tuesday, August 10, 2010

LADY JAYDEE ALIVYOTIMIZA MIAKA KUMI YA MACHOZI BAND VIWANJA VYA MILLENIUM TOWER JIJINI DAR

Hapa Lady JayDee akiwapagawisha mashabiki wake
Mpenzi wa Machoz Band akiwa na fulana ya Machozi inayosema "I love Machozi Band"
Keisha naye alikuwepo kumpa Kampani Dada Jay Dee
Mh! sitaki Mie Mwanadada JayDee akimlisha keki Mumewe Gadner
Kaka Issa Michuzi naye akilishwa keki na Jay Dee
Hapa akikata keki ya kutimiza miaka kumi ya kazi yake ya muziki
Mashabiki walimpa sapoti ya kutosha kabisa
Mashabiki walimpa sapoti ya kutosha kabisa


Vijana wa kazi wa Machozi Band wakikamua

Hapa akionyesha bando lililokuwa limeandikwa miaka Kumi ya machozi Band
Mwanadada Lady JayDee majuzi alikuwa anatimiza miaka kumi tangu kuanza kwake muziki maeneo ya Millenium Tower, Kijitonyama na kuzindua albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la Combination ambapo katika albamu hiyo kuna wimbo wake unaokwenda kwa jina la Nilizama. Katika kutimiza miaka kumi ya Machozi Band pia aliimba nyimbo zake za zamani kama vile Mawazo na nyingine nyingi, pia aliungwa mkono na msanii Chege na Keisha katika kutimiza miaka hiyo kumi.
Mdau kutoka Dar. Safina

0 Comments: