Monday, August 9, 2010

BONGO WALIVYOPAGAWA NA FIESTA JIPANGUSE

Hapa Lil Kim na Juma Nature

Hapa Diamond katika mavazi ya Ki Michael jackson






Mzee wa Alachi naye alikuwepo kufanya makamuzi ya kutosha


Hapa vijana kutoka Nigeria Bracket wakifanya mambo yao ya Yori yori
Hapa Mh Temba akifanya makamuzi
Hapa Fig Q akifanya makamuzi
Vijana kutoka Tip Top Connection awkifanya makamuzi


Lil Kim akifanya makamuzi ile mbaya

Hapa Mh Temba akifanya makamuziLil Kim na Juma Nature



Hapa Lil Kim akiwapagawisha mashabiki

Hapa mashabiki wakimfagilia Juma nature na Lil Kim

Fiesta iliyofanyika ndani ya viwanja vya leaderz ilikuwa ya aina yake na nzuri kwani wasanii mbalimbali walifanya shoo nzuri sana na kuwafanya mashabiki walioudhuria katika shoo hiyo ya Jipanguse kuwa nzuri hasa pale msanii Juma Nature alipofanya makamuzi na mwanadada Lil Kim kutoka USA mitaa ya Brooklyn kwa kuwapagawisha mashabiki ile mbaya.Big up kwa Fiesta ya mwaka huu ilikuwa poa sana.
Mdau kutoka Dar, Julius P.

0 Comments: