Ebwana hii ni ngoma mpya kabisa ya Ay na Mwana FA inayokwenda kwa jina la Dakika Moja ambayo wameiachia muda si mrefu katika vituo mbalimbali vya Televisheni ndani ya jiji la Dar es Salaam, hii ni ngoma mpya na ya ukweli kabisa kutoka kwa Wazeyaa wa Kazi, Wasanii wa Bongo hayo ndio mabadiliko yanayotakiwa. Big Up kwa Mzeyaa AY& FA.










0 Comments:
Post a Comment