Monday, September 13, 2010

YALIYOJIRI NDANI YA MISS TANZANIA 2010 NDANI YA MLIMANI CITY JIJI DAR ES SALAAM

Vodacom Miss Tanzania 2010, Genevieve Emmanuel Mpangala akiwa ameshikilia taji muda mfupi baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa taji lilo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam juzi











Kundi la wanamuziki la Wanaume Family likishirikiana na mwanamuziki toka Kenya, Wahu wakitawala jukwaa wakati wa kilele cha kumsaka Voda com Miss Tanzania 2010 katika ukumbi wa Mlimani City









Chege katika pozi
K-Lyin naye aliwakilisha Miss Tanzania 2010
Mh Temba katika pozi

K-Lyin

Maria Mpangala ambaye ni Mama Mzazi wa Vodacom Miss Tanzania 2010,Genevieve Emmanuel Mpangala akimpusu mwanaye muda mfupi mara baada ya kutangazwa mshindi wa taji hilo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam
Mwanamuziki wa Kizazi kipya,Ambwene Yesaya (AY) akilitawala jukwaa vilivyo wakati wa kinyang’anyilo cha kumsaka Vodacom Miss Tanzania 2010 katika ukumbi wa Mlimani City




0 Comments: