Tuesday, October 9, 2012

OFFICIAL RELEASE: C-SIR MADINI "PAIN KILLER" (Audio)



Hello mambo vipi,

Please pokea wimbo mpya wa Msanii C-SIR MADINI (Sisa) ambayo leo ndio tunai release rasmi kuanza kuchezwa katika radio stations. Video tayari ilitoka siku mbili zilizopita.

The story behind the existence of this song, ni kwamba kwanza ni wimbo ambao umeandikwa na kurekodiwa siku moja ilikuwa mwezi may 2012, baada ya hapo kazi ya umaliziaji wa beat pamoja na mixing ikaendelea kwa takriban wiki 2.

Idea ya wimbo huu, title na lyrics zote zimeandikwa na kidbwoy, na zina base katika chembechembe za true story zinazomhusu muandishi wa wimbo huu.

Maana ya wimbo huu ni kwamba, C-sir amepata kitulizo cha moyo wake ulioumizwa na mpenzi alietangulia, hivyo baada ya kumpata mtu alieamini kuwa ndio tulizo la moyo wake, huyo ndio akawa Pain Killer yake, lakini ni tofauti na pain killer zote unazozifahamu ambazo mara nyingi huwa zina uchungu wakati wa kumeza. Tofauti ya Pain Killer ya C-sir na Pain Killer za maumivu ya kichwa ni kuwa hii ni "PAIN KILLER/TAMTAM", licha ya kumtibu lakini bado ni tamu.

Hii ni ngoma ya 3 kwa C-sir Madini kuachia, baada ya KIFUNGO HURU iliyotoka kama single ya kwanza mwaka jana, iliyofuatiwa na NISHIKE MKONO aliyoitoa mwezi January mwaka huu 2012.

Arist Nick name: C-SIR MADINI (Sisa)
Real Name: PETER MPONEJA
Birthdate: 07th may 1992
New release: PAIN KILLER
Written by: Kid bwoy
Produced by: Kid bwoy
Studio: Tetemesha Records

C-sir madini's mobile nos:
+255 756 829084
+255 712 719004

Thank you for your support.

--
Sandu George (Kid bwoy)

e-mail: sandumpanda@gmail.com

             tetemesharecords@gmail.com

Mwanza,

Tanzania,
East Africa
.

0 Comments: